Zawadi aliyotoa Rais wa Misri kwa wachezaji baada ya kufuzu World Cup 2018


Weekend iliyomalizika timu ya taifa ya Misri ilifanikiwa kufuzu kwenda kushiriki fainali za michuano ya Kombe la dunia nchini Urusi, kwa mara ya kwanza baada ya miaka 27, Misri wamefuzu kucheza fainali za kombe la dunia mwakani baada ya ushindi wa dakika za majeruhi wa magoli 2-1.
Kocha wa Misri Hector Cuper

Ushindi huo umewafanya Misri wafuzu moja kwa moja kutokana na kufikisha jumla ya point 12 ambazo haziwezi kufikiwa na timu yoyote ile ya Kundi E lililokuwa na timu za Uganda, Ghana na Congo Brazzaville licha ya kila timu kusalia na mchezo mmoja.

Comments